akiwa amelazwa hospital na majeraa usoni.
Makamu wa Rais Dr Mohamed Gharib alienda mtembelea katika Hospitali ya Aga Ghan .
Selikali yetu haiwajali wafanya biashara wadogo wadogo kila siku,sasa unawaambia wahame bila kuwatafutia sehemu ya kufanyia biashara zao mnakuwa mnategemea nini?sasa leo tindikali kesho kitakuwa kifo. Tanzania kujali raia wake ni swala gumu sana.sasa kwa mwendo huu tuafika kweli .
Tidak ada komentar:
Posting Komentar