Minggu, 28 November 2010

MARIAH CAREY..........TWINS.

Mwanamziki aitwae Mariah Carey  week hii alifanyiwa interview na radio moja huko america,
juu ya mtoto wake mtarajiwa ambe baba yake ni Nick Cannon,na mwadada huyu alisema yakwamba anategemea mapacha,na yupo mbioni  toa album yake mpya ya merry christmass 2 you
 GOOD LUCK

Tidak ada komentar:

Posting Komentar

LinkWithin