Selasa, 29 Maret 2011

BEYONCE FIRES HER DAD!!!

Mathew knowles ambae ni baba yake beyonce ameachishwa kazi na mwanae.Mathew alikuwa manager wa beyonce tangu alipoanza uanamziki,ametangaza leo lady b kwamba ametengana na baba yake kwenye swala zima la mziki,sababu hakusema ,kunarumours zilitoka kwamba baba yake alikuwa anamcheats mkewe na mwishowe wazazi wake wali dervorce na hili swala lilimgusa mno mana beyonce yupo karibu sana na mama yake.baba yake anasema anaheshimu mawazo ya mwanae na anamtakia kila lakheri.


                                      Beyonce Fires Her Dad!
                                                   BEYONCE NA BABA YAKE

                                  
                                     BEYONCE NA WAZAZI WAKE

Tidak ada komentar:

Posting Komentar

LinkWithin